Ni mayai mazuri ya kienyeji yenye faida nyigi mwilini ikiwemo:
a) Mayai yana viinilishe vingi.
Kwa kawaida yai moja lina wingi wa viinilishe kama vile vitamini, protein, madini n.k kama ifuatavyo
Selenium: 22%
Vitamin B2: 15%
Vitamin B12: 10%
Phosphorus: 9%
Vitamin B5: 7% Vitamin A: 5%
Vitamin D: 11%
Calcium: 2%
Madini ya Chuma 3%
- Mayai huondoa sumu na kusaidia kuongeza nuru ya macho
No comments:
Post a Comment